Sayuni, ufrahi!
Sayuni, Ufurahi
Shangilia Yerusalemu!
Yuaja mfalme wako,
Mwenye amani kwako.
Sayuni, Ufurahi
Shangilia Yerusalemu!
Hosiana! Mesiya
Utubariki sasa
Jenga ufalme wako
Uimwenguni mwote.
Hosiana! Mesiya
Utubariki sasa
Hosiana! Pongezi!
Twaluamkia Bwana!
Kiti cha enzi yako
Chasimama milele.
Hosiana! Pongezi!
Twaluamkia Bwana!